AfricaUpya: 2020 Septemba

Hadithi ya Jalada

Fatima Kyari Mohammed

Tunapoadhimisha miaka 75 ya Umoja wa Mataifa, ni lazima tushirikiane kufanikisha nafasi zilizomo katika umoja wa Afrika

— Bi. Fatima Kyari Mohammed Mchunguzi wa Kudumu na Mkuu wa Ujumbe wa Umoja wa Afrika katika Umoja wa Mataifa.

Afya

Amani na Usalama

Mkuu wa Mataifa ya Afrika wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa thelathini na tatu wa AU, 9 Februari 2020

Mwezi wa Msamaha: Umoja wa Mataifa-AU wito wa pamoja wa kusalimisha silaha haramu

Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Masuala ya Upunguzaji wa Silaha za Vita Kutafuta juhudi za kunyamazisha bunduki barani Afrika.
Bandari huko Tema, Ghana.

Janga la COVID-19 linazidisha dharura ya kuwa na njia nyingi za mapato ya kiuchumi barani Afrika

Kufanya mambo kama kawaida katika kipindi cha baada ya janga kutazidisha matatizo ya kiuchumi

Maendeleo ya kiuchumi

Jinsia

Ukatili wa kijinsia

Kupambana na ‘janga la kinyumbani’: Umoja wa Afrika unapongeza Chapisho la Sauti Blog kwa kujihusisha na vita dhidi ya unyanyasaji wa kijinsia

Mwandishi mchanga wa kike anahamasisha ufahamu kuhusu mivutano iliyopo baina ya kuhifadhi taswira ya umma na kunusurika unyanyasaji wa kinyumbani.

Utamaduni

Maonyesho ya nguo katika She Designs 2018, maonyesho ya wabunifu zaidi ya 50 wa wanawake kutoka nchi

Mitindo na kitambaa: Historia ya Afrika yasimuliwa kupitia kwa mavazi yaliyopigwa chapa kwa nta

Nguzo ya mitindo ya Afrika, vitambaa vya “ankara,” “wax hollandais” au “kitenge” ni kioo cha historia