Stories

António Guterres watches grain being loaded on the Kubrosliy ship in Odesa, Ukraine

Mwaka mmoja baadaye: Athari za mzozo baina ya Urusi na Ukrainia kwa Afrika

By Bitsat Yohannes-Kassahun
Kushughulikia deni huku tukiimarisha kilimo, upatikanaji wa nishati na biashara barani kunaweza kupunguza mzigo kwa chumi zinazokaribia kuanguka
Linda Chepkwony

AfCFTA: Ndoto za kijana mfanyabiashara zatimia

By Kingsley Ighobor
Mjasiriamali Mkenya wa miaka thelathini, Linda Chepkwony anataka kuwahamasiha vijana wa Kiafrika kusaidia kukuza viwanda barani kupitia mkataba wa biashara huria
Dabaso Mangrove floating restaurant.

Hoteli inayoelea ya Crabshack inastawi juu ya miti ya mikoko

By Newton Kanhema
Wakati wa msimu wa wageni wengi hoteli hii hupata wateja 1,000 kwa siku na mapato ya kila mwezi hufika dola 30,000 na kuajiri wafanyakazi 42.
Restored Mangrove trees.

Jinsi wanakijiji wa pwani ya Kenya wanavyoingiza pesa kutokana na malipo ya kaboni

By Newton Kanhema
Mradi wa mikoko wa Mikoko Pamoja unatarajia kuzalisha mapato ya kila mwaka ya takriban $130,000
Presently, intra Africa trade stands low at just 14.4% of total African exports.

Biashara huria ya Afrika inaendelea, juhudi zaidi zinahitajika

By Douglas Okwatch
Mwaka mzuri watarajiwa AfCFTA inapoadhimisha Miaka 2

Kutana na “mrejesha-ndege” wa Afrika anayerejesha pori katika visiwa vya Bahari Hindi

By Africa Renewal
Dkt. Nirmal Shah, mhifadhi bingwa kutoka Ushelisheli, anasaidia kuwaokoa ndege adimu
Fazal Issa Climate and Environment Programme Manager at the Embassy of Ireland, Tanzania

Matokeo ya COP27: Tathmini kuhusu hatua zilizofikiwa, fursa zilizopitwa

By Fazal Issa
Hazina ya kusaidia hasara na uharibifu imekaribishwa, haja ya kushughulikia ukabilifu na utekelezaji wa hazina ya kusaidia walio katika hatari zaidi