Maendeleo ya kiuchumi

Bi. Epsy Alejandra Campbell Barr, Mwenyekiti wa Jukwaa la Kudumu la Watu wa Asili ya Kiafrika, anawahimiza wazawa wa Kiafrika na Waafrika kushirikiana katika kushughulikia changamoto zinazofanana.
Betty Mtewele, a market vendor
Ukuaji wa uchumi wa bara hilo unatarajiwa kufikia hadi asilimia 3.5
Kilimo cha muhogo nchini Libeŕia: Haki za wanawake kumiliki ardhi lazima zitambuliwe kisheria, na ta
Usalama wa umiliki wa ardhi wa wanawake ni muhimu kwa uwezeshaji wao katika ngazi ndogo kama wazalishaji wa kilimo katika kaya na katika ngazi ya jumla kwa ajili ya kufungua manufaa ya kimageuzi, kijamii na kiuchumi.
Hatua za pamoja katika mfumo wa vikundi vya wanawake zimewanufaisha sana wanawake katika mazungumzo ya kupata ardhi
António Guterres watches grain being loaded on the Kubrosliy ship in Odesa, Ukraine
Kushughulikia deni huku tukiimarisha kilimo, upatikanaji wa nishati na biashara barani kunaweza kupunguza mzigo kwa chumi zinazokaribia kuanguka
Linda Chepkwony
Mjasiriamali Mkenya wa miaka thelathini, Linda Chepkwony anataka kuwahamasiha vijana wa Kiafrika kusaidia kukuza viwanda barani kupitia mkataba wa biashara huria
Presently, intra Africa trade stands low at just 14.4% of total African exports.
Mwaka mzuri watarajiwa AfCFTA inapoadhimisha Miaka 2
Tusipoteze fursa hii ya kurudisha upya uhusiano na uchumi wetu
Biashara kupitia barabara, reli, ndege na huduma za usafiri wa meli kuongezeka kwa 50%
Trucks loaded with goods waiting for weeks to cross the Côte d’Ivoire-Ghana borders at Elubo/Noe.
Mabadiliko katika itikadi, kujiendeleza baada ya Uviko-19 na kutumia ajenda ya malengo ya maendeleo endelevu (SDG) kunaweza kusaidia